Nyumba Ya Sanaa

  • Author: Vários
  • Narrator: Vários
  • Publisher: Podcast
  • Duration: 8:03:52
  • More information

Informações:

Synopsis

Nyumba ya Sanaa ni Makala ya  Utamaduni ambayo inatoa fursa  kwa wasanii  na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.

Episodes

  • Tanzania: Muziki wa kizazi kipya kwa vijana

    21/09/2024 Duration: 20min
  • Tanzania: Tunazungumza na kundi la wasani la viongozi generation

    14/09/2024 Duration: 20min

    Mwandishi wetu Steven Mumbi amezungumza na kundi la wasani la viongozi generation.

  • Tanzania: Muziki wa kizazi kipya na Hussein Mussa Shundi Maarufu Rucky

    07/09/2024 Duration: 20min

    Muziki wa kizazi kipya umewawezesha vijana nchini Tanzania kujikwamua kimaisha kwa kujipatia kipato kupitia Sanaa hiyo,Katika Makala haya Steven Mumbi anazungumza na Hussein Mussa Shundi Maarufu Rucky.

  • Mwanza: Msanii wa Bongo Fleva, Baraka the Prince ndiye mgeni wetu wiki hii

    31/08/2024 Duration: 20min

    Msanii wa Bongo Fleva, Baraka the Prince anauona muziki ni maisha, jambo linalomfanya afikirie zaidi namna mashabiki wake wataishi na kazi zake, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na Msanii huyo.

page 2 from 2