Wimbi La Siasa
Tanzania: CHADEMA yashinikiza mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:54
- More information
Informações:
Synopsis
Mwezi Oktoba 2025, wananchi wa Tanzania, watashiriki kwenye uchaguzi Mkuu, kuwachagua madiwani, wabunge na rais. Hata hivyo, chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA, kikiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, kinashinikiza mageuzi kwenye sheria za uchaguzi kabla ya kufanyika kwa uchaguzi huo.Je, kitafanikiwa katika harakati zake ?