Wimbi La Siasa
Tundu Lisssu afunguliwa kesi ya uhaini, CHADEMA matatani
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:29
- More information
Informações:
Synopsis
Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, Tundu Lissu, Aprili 10 alifunguliwa kesi ya uhaini, baada ya kukamatwa akiwa kwenye kampeni ya kisiasa, kushinikiza mageuzi kwenye mchakato wa uchaguzi, uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba.