Wimbi La Siasa
DRC: Kabila aripotiwa kufikia Goma, huku chama chake kikifungiwa
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:10:11
- More information
Informações:
Synopsis
Rais wa zamani wa DRC, Joseph Kabila, Aprili 18, aliripotiwa kurejea nchini na kufikia jijini Goma, linalodhibitiwa na waasi wa M 23. Hata hivyo, taarifa hizi hazijathibitishwa rasmi. Serikali jijini Kinshasa, nayo imesitisha shughuli zote za kisiasa za chama chake cha PPRD. Kabila anashtumiwa na serikali kwa kuunga vitendo vya waasi hao.