Habari Rfi-ki
News Zealand kudhibiti mitandao ya kijamii kwa watoto
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:55
- More information
Informações:
Synopsis
Shaba ya makala haya inalenga news Zealand ambapo serikali inapendekeza marufuku ya matumizi ya mitandao kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka 16, lengo likiwa kuwakinga dhidi ya athari za mitandao. Njia gani wazazi wa kiafrika wanaweza kuwalinda watoto na mitandao ya kijamii? Ndilo swali tumeuuliza na haya hapa baadhi ya maoni yako, skiza makala haya.