Wimbi La Siasa
Trump azuia raia wa nchi 12 kuzuru Marekani
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:10:10
- More information
Informações:
Synopsis
Rais wa Marekani Donald Trump ameagiza raia wa nchi 12 hasa kutoka Afrika kutozuru nchi hiyo. Agizo hilo lilianza kutekelezwa Juni 9, 2025. Trump anasema amechukua hatua hii kwa sababu za kiusalama. Wakati hayo yakijiri, maandamano yamekuwa yakishuhudiwa katika mji wa Los Angeles, kupinga sera ya Trump ya kuwasaka na kuwafukuza nchini humo, wageni wanaoishi bila vibali. Tunachambua kwa kina.