Habari Rfi-ki

Raia wa nchi za Afrika wapendekeza watu wazima kupewa fursa ya kusoma na kuandika

Informações:

Synopsis

Kila mwaka tarehe 8 Septemba ulimwengu husherehekea maendeleo katika ujuzi wa kusoma na kuandika katika ngazi ya kimataifa, kikanda na kitaifa. Mwaka huu imekuwa ni fursa ya kutafakari kwa kina kuhusu maana ya kusoma na kuandika katika enzi hii ya kidijitali.