Habari Rfi-ki

Kenya na Uganda zakubaliana rasmi kuondoa vizuizi vyote vya kibiashara

Informações:

Synopsis

Tunazungumzia hatua ya Kenya na Uganda kukubaliana rasmi kuondoa vizuizi vyote vya kibiashara, vikiwemo vizuizi vya ushuru na visivyo vya ushuru, ili kuwezesha mtiririko huru wa bidhaa, huduma, na watu kati ya mataifa hayo mawili