Habari Za Un

Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa maneno "Ashiraf, Janabi, gayagaya, kiti cha marimba na kiti cha msaji"

Informações:

Synopsis

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “Ashiraf, Janabi, gayagaya, kiti cha marimba na kiti cha msaji”