Habari Za Un
Walinda amani wa UN kutoka Bangladeshi na Indonesia wapewa medali nchini DRC
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:01:49
- More information
Informações:
Synopsis
Huko Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani kutoka Bangladesh na Indonesia, wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wamepatiwa medali kwa mchango wao wa ulinzi wa raia, moja ya jukumu kubwa la ujumbe huo. Assumpta Masso amefuatilia hafla hiyo na kuandaa ripoti hii.