Habari Za Un
Nyumba yetu ilivamiwa na tulilazimika kukimbia hadi hapa Burundi – Mkimbizi Charles
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:04:43
- More information
Informações:
Synopsis
Mapigano yanayoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, yamesababisha zaidi ya watu 70,000 kukimbia makazi yao na kuvuka mpaka kuingia nchi jirani ya Burundi wakitafuta usalama.