Habari Za Un
Vijana wakumbatia kilimo bunifu kupambana na mabadiliko ya tabianchi Kajiado nchini Kenya
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:03:20
- More information
Informações:
Synopsis
Kwa mujibu wa wataalamu wa kilimo, teknolojia imefungua njia mpya ya kuinua maisha ya wakulima wadogo, hasa kwa kutumia ukulima wa kisasa unaotumia maarifa na Teknolojia. Sharon Jebichii anatupeleka kaunti ya Kajiado, Kenya, katika eneo la EMbulbul, kukutana na vijana wanaotumia maarifa ya kilimo cha kisasa kubadilisha maisha yao na ya jamii.