Habari Za Un

Jifunze Kiswahili: Tofauti ya maneno "URAIBU NA HITARI”.

Informações:

Synopsis

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo,  mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua tofauti ya "URAIBU NA HITARI”.