Habari Za Un

IFAD imejengea uwezo wanawake Nepal ambao awali walighubikwa na ukata

Informações:

Synopsis

Nchini Nepal suala la waume kwenda kusaka ajira nje ya nchi na kuacha wake zao wakihaha kukimu familia zao katika mazingira ambamo wanawake wanakuwa hawana uthabiti wa kiuchumi limeanza kupatiwa muarobaoni. Je ni kwa vipi? Assumpta Massoi anakufahamisha zaidi.