Sbs Swahili - Sbs Swahili
Serikali ya shirikisho yazungumza kwa ukali baada ya kupotea kwa huduma ya simu ya dharura ya Optus
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:04
- More information
Informações:
Synopsis
Waziri wa Shirikisho wa Mawasiliano amesema Optus inastahili tarajia adhabu kubwa, kufuatia kupotea kwa huduma ya namba ya dharura ya 000, hali ambayo ime husishwa na vifo kadhaa.